Benki ya CRDB inakuhimiza uwahi Samia Infrastructure Bond kabla ya Januari 17, 2025.
Kianzio ni Sh. 500,000/= na kuendelea, Riba 12% kwa mwaka, Gawio mara 4 kwa
mwaka, Hakuna makato ya kodi na kuwa itadumu kwa kipindi cha miaka 5
(Utarudishiwa uwekezaji wako)/
Benki hiyo inakuambia wekeza sasa kirahisi kupitia SimBanking App au tembelea tawi la Benki ya CRDB la karibu
nawe kwa maelezo zaidi
No comments:
Post a Comment