BENKI YA AZANIA INAKURAHISISHIA UKATAJI WA TIKETI WAKATI HUU WA WANAFUNZI WANAPO RUDI SHULENI - UMOJA BANKING BLOG

Home Top Ad

MABENK

Post Top Ad

Saturday, 4 January 2025

demo-image

BENKI YA AZANIA INAKURAHISISHIA UKATAJI WA TIKETI WAKATI HUU WA WANAFUNZI WANAPO RUDI SHULENI

Untitled-2

AZANIA

 Na Dotto Mwaibale, Dar es Salaam

KATIKA kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka zinapoishia ukingoni Benki ya Azania imekuja na suluhisho la kuwarahisishia wazazi wanaorudi makazini na wanafunzi wanaorudi mashuleni kupata tiketi popote pale walipo inachotakiwa ni kwa msafiri kuomba tiketi hiyo kupitia Google Play/ App Store ya benki hiyo na kuipakua.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *