NAIBU WAZIRI MKUU DKT. DOTO BITEKO AIPA TUZO YA SHUKURANI BENKI YA CRDB - UMOJA BANKING BLOG

Breaking

Home Top Ad

MABENK

Post Top Ad

Saturday, 12 October 2024

demo-image

NAIBU WAZIRI MKUU DKT. DOTO BITEKO AIPA TUZO YA SHUKURANI BENKI YA CRDB

Untitled-2

1%20BITE

Mkurugenzi Mtendaji, Benki ya CRDB, Ndugu Abdulmajid Nsekela akipokea tuzo ya shukrani kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko pamoja na mgeni rasmi Mhe. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Tuzo hii imetolewa kwa kutambua mchango wa Benki ya CRDB kama mdhamini wa tukio kubwa la siku ya walimu duniani, lililong’ara huko Bukombe.

Tunatoa shukrani za dhati kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu kwa kutambua mchango wa Benki ya CRDB, na kwa hakika tutaendelea kuwa pamoja katika kuthamini jitihada za walimu nchini.2%20MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikabidhiwa tuzo na Mkurugenzi Mtendaji, Benki ya CRDB, Ndugu Abdulmajid Nsekela
 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *