MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA CRDB ATEMBELEA BANDA LA CRDB MAADHIMISHO SIKU YA USHIRIKA DUNIANI - UMOJA BANKING BLOG

Home Top Ad

MABENK

Post Top Ad

Monday, 8 July 2024

demo-image

MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA CRDB ATEMBELEA BANDA LA CRDB MAADHIMISHO SIKU YA USHIRIKA DUNIANI

Untitled-2

nsekela

 Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela (katikati) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania alitembelea banda letu la CRDB kwenye Maadhimisho Ushirikia Duniani 2024,SUD. Tukiwa kama wadau wakubwa wa Ushirika tunaunga mkono kauli mbiu ya mwaka huu “Ushirika hujenga kesho iliyo bora kwa wote”

#CrdbBank

#tunakusikiliza

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *