Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika viwanja Bunge Jijini Dodoma Mei 31, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika hafla hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akiwa kwenye hafla hiyo.
Wabunge
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa kwenye hafla hiyo. Hafla ikiendelea.
Wabunge wakiwa kwenye hafla hiyo.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo akiwa kwenye hafla hiyo.
No comments:
Post a Comment