DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA AFDB UTAKAOMCHAGUA RAIS MPYA WA BENKI HIYO - UMOJA BANKING BLOG

Home Top Ad

MABENK

Post Top Ad

Monday, 26 May 2025

demo-image

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA AFDB UTAKAOMCHAGUA RAIS MPYA WA BENKI HIYO

Untitled-2

PIX%201
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), kando ya Mkutano Mkuu wa mwaka 2025 ambao utakuwa wa 60 wa Bodi ya Magavana wa ADB na wa 51 kwa ADF, unaonza leo tarehe 26 hadi 30 Mei 2025 katika Hoteli ya Sofitel Ivoire, Abidjan, Côte d’Ivoire, na utajumuisha uchaguzi wa Rais na Wakurugenzi Watendaji wa Taasisi hiyo baada ya Rais wake wa sasa, Dkt. Akwinumi Adesina, kumaliza muda wake.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *