Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), kando ya Mkutano Mkuu wa mwaka 2025 ambao utakuwa wa 60 wa Bodi ya Magavana wa ADB na wa 51 kwa ADF, unaonza leo tarehe 26 hadi 30 Mei 2025 katika Hoteli ya Sofitel Ivoire, Abidjan, Côte d’Ivoire, na utajumuisha uchaguzi wa Rais na Wakurugenzi Watendaji wa Taasisi hiyo baada ya Rais wake wa sasa, Dkt. Akwinumi Adesina, kumaliza muda wake.
Post Top Ad
Monday, 26 May 2025

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA AFDB UTAKAOMCHAGUA RAIS MPYA WA BENKI HIYO
Tags
# Matukio
Share This

About BLOG
Blog hii ni kwa ajili ya kuripoti habari za Benki, Biashara, Fedha, Uchumi, Uwekezaji na soko la hisa sanjari na kuandaa makala za kuelimisha jamii masuala mbalimbali yanayohusu fedha. Tunafanya kazi masaa 24.
Newer Article
NMB YATUA MAFINGA NA KASULU KWA KIJIJI DAY, YAENDELEA KUSAMBAZA ELIMU YA FEDHA
Older Article
NMB FOUNDATION YAWANOA WAKULIMA ZAO LA KAKAO KYELA, SERIKALI YAIPONGEZA
Tags:
Matukio
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment