SERIKALI YASHAURIWA KUANZISHA KLINIKI YA FEDHA - UMOJA BANKING BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, 14 August 2024

SERIKALI YASHAURIWA KUANZISHA KLINIKI YA FEDHA

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Bw. George Mbesigwe, akizungumza wakati wa semina ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo kujiwekea akiba, mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo mkoani humo.Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Glory Uisso, akizungumza na baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, baada ya kumalizika kwa semina ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo kujiwekea akiba, mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo mkoani humo.Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bw. Salim Khalfan Kimaro, akiitambulisha Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha ambayo ipo mkoani Lindi kutoa elimu ya fedha, kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Bw. George Mbesigwe (katikati) na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Ruangwa Bw. Rashid Namkulala.

Afisa Mchambuzi Hesabu Mwandamizi, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Bi. Mariam Omari Mtunguja, akizungumza wakati wa semina ya utoaji ya elimu ya masuala ya fedha kwa Wakazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo uwekezaji, mikopo na akiba.

Mkazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Bw. Cosmas Rashid, akisoma kipeperushi chenye taarifa kuhusu mikopo wakati wa semina ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo kujiwekea akiba, mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo mkoani Lindi.

Baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Ruangwa  mkoani Lindi walioshiriki semina ya elimu ya fedha wakiangalia filamu yenye mada mbalimbali ikiwemo utunzaji wa akiba, uwekezaji, na nyinginezo iliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo mkoani Lindi.

Mkazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Bi. Bahati Mng’onye, akitoa ushauri kwa Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha iliyopo mkoani Lindi kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wa makundi mbalimbali.Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya  Ruangwa  mkoani Lindi, Bw. Edward Mbaruku,  akiwashukuru Wananchi wa Ruangwa,  waliojitokeza kupata elimu ya masuala ya fedha katika semina hiyo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo uwekezaji, mikopo na akiba.

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages