Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Bw.
George Mbesigwe, akizungumza wakati wa semina ya elimu ya fedha iliyotolewa na
Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo kujiwekea akiba,
mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo mkoani humo.
Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Glory Uisso, akizungumza na baadhi ya
wakazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, baada ya kumalizika kwa semina ya
elimu ya fedha iliyotolewa na Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa
ikiwemo kujiwekea akiba, mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo
mkoani humo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha,
Wizara ya Fedha Bw. Salim Khalfan Kimaro, akiitambulisha Timu ya Wataalamu
kutoka Wizara ya Fedha ambayo ipo mkoani Lindi kutoa elimu ya fedha, kwa Kaimu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Bw. George Mbesigwe (katikati)
na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Ruangwa Bw. Rashid Namkulala.
Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Glory Uisso, akizungumza na baadhi ya
wakazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, baada ya kumalizika kwa semina ya
elimu ya fedha iliyotolewa na Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa
ikiwemo kujiwekea akiba, mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo
mkoani humo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha,
Wizara ya Fedha Bw. Salim Khalfan Kimaro, akiitambulisha Timu ya Wataalamu
kutoka Wizara ya Fedha ambayo ipo mkoani Lindi kutoa elimu ya fedha, kwa Kaimu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Bw. George Mbesigwe (katikati)
na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Ruangwa Bw. Rashid Namkulala.
Afisa Mchambuzi Hesabu Mwandamizi, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana
Bi. Mariam Omari Mtunguja, akizungumza wakati wa semina ya utoaji ya elimu ya
masuala ya fedha kwa Wakazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, ambapo mada
mbalimbali zilifundishwa ikiwemo uwekezaji, mikopo na akiba.
Mkazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Bw. Cosmas Rashid, akisoma
kipeperushi chenye taarifa kuhusu mikopo wakati wa semina ya elimu ya fedha
iliyotolewa na Wizara ya Fedha ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo
kujiwekea akiba, mikopo, uwekezaji katika ukumbi wa Halmashauri hiyo mkoani
Lindi.
Baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Ruangwa
mkoani Lindi walioshiriki semina ya elimu ya fedha wakiangalia filamu
yenye mada mbalimbali ikiwemo utunzaji wa akiba, uwekezaji, na nyinginezo
iliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo mkoani Lindi.
Mkazi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Bi. Bahati Mng’onye, akitoa
ushauri kwa Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha iliyopo mkoani Lindi kutoa
elimu ya fedha kwa wananchi wa makundi mbalimbali.
Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya
Ruangwa mkoani Lindi, Bw. Edward
Mbaruku, akiwashukuru Wananchi wa
Ruangwa, waliojitokeza kupata elimu ya
masuala ya fedha katika semina hiyo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo
uwekezaji, mikopo na akiba.




No comments:
Post a Comment