Wizara ya Fedha imeibuka Mshindi wa Pili wa Jumla kwa upande wa Wizara
zilizoshiriki Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam
yaliyoandaliwa na TANTRADE (Sabasaba), yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu
Nyerere, Kilwa Road, Jijini Dar es Salaam, mwaka 2024.
Aidha, Taasisi yake ya Mamlaka ya Usimamizi wa
Ununuzi (PPRA) imeshika nafasi ya Kwanza kwa Upande wa Mamlaka za Udhibiti
nchini, huku Mamlaka ya Rufani za Zabuni (PPAA), ikishika nafasi ya Pili katika
kundi la Taasisi za Serikali.








No comments:
Post a Comment