Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Tanzania - TIB, Bi. Lilian
Mbassy, ametembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara
ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere
Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam, ambapo amezipongeza Idara,
Vitengo na Taasisi za Wizara ya Fedha kwa kutoa elimu kwa umma kuhusu sera za
uchumi na fedha, program, huduma, uwekezaji, benki na masuala mengine kwa
umahiri.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Tanzania - TIB, Bi. Lilian
Mbassy, (katikati), akitembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48
ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius
Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam, ambapo amezipongeza
Idara, Vitengo na Taasisi za Wizara ya Fedha kwa kutoa elimu kwa umma kwa
umahiri.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Tanzania - TIB, Bi. Lilian
Mbassy, (kulia), akipata Meneja wa Biashara na Uhamasishaji wa Mfuko wa SELF
kuhusu Mfuko huo kuwekeza kwa kuwafikia wateja wengi zaidi hususani wa kipato
cha chini, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya
Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius
Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo
Tanzania - TIB, Bi. Lilian Mbassy, (kushoto), akipokea chapisho kutoka Mamlaka
ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA), alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha
katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika
viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam



No comments:
Post a Comment