BENKI YA EXIM YAINGIA MKATABA WA MIAKA MITATU NA ZATI - UMOJA BANKING BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, 26 February 2025

BENKI YA EXIM YAINGIA MKATABA WA MIAKA MITATU NA ZATI

Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua Sekta ya Utalii Zanzibar. Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally, ukishuhudiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mhe. Mudrick Soraga.

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages