AFISA MTENDAJI MKUU WA BENKI YA NMB, AKUTANA NA WAZIRI WA UJENZI INNOCENT BASHUNGWA - UMOJA BANKING BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, 4 September 2024

AFISA MTENDAJI MKUU WA BENKI YA NMB, AKUTANA NA WAZIRI WA UJENZI INNOCENT BASHUNGWA

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa baada ya kutembelea ofisi za makao makuu ya benki hiyo,

.....................................

Na Mwandishi Wetu

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo, jijini Dar es Salaam.

Mazungumzo haya yamelenga kuendeleza ushirikiano kwa ustawi wa mnyororo wa thamani wa Sekta ya Ujenzi, na Mhe. Waziri amepata wasaa wa kuishukuru benki ya NMB kwa kuwa mshirika wa karibu kwa wadau wa sekta hiyo.

Picha ya pamoja na Waziri Bashungwa.
Mazungumzo na Waziri Bashungwa yakiendelea
Mazungumzo yakiendelea.
 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages